Jan 24, 2014

FANTASTIC INSPIRATIONS.


 HeLLO.
   Leo tuangalie baadhi ya wanawake ambao wanastahili pongezi kwa kudhubutu na kuweza katika Aviation industry.
  Wafuatao ni vijana na wanawake ambao ni marubani na marubani wazoefu (Captains) katika Afrika, ambao ninafikiri wanatakiwa kutambulika.


1. Neema Swai (First Officer Precision Air Tanzania).  
Amekaa katikati.
Anaendesha ndege aina ya ATR 42-600.
2. Esther Mbabazi. (First Officer RwandAir).
   Ni Rubani wa kwanza wa Kike nchini Rwanda.
   Baba yake pia alikuwa rubani, lakini alikufa 
  kwenye aksidenti mbaya ya ndege nchini Rwanda
  kati ya miaka ya 1995-1998. 
Anaendesha ndege aina ya Embraer 190.
 3. Abimbola Jayeola. (First female Commercial Helicopter Pilot Nigeria).

4. Tonika Johnson. (Captain Arik Airlines, Lagos, Nigeria).

5. Amsale Gualu. (First Female Captain Ethiopian airlines, Ethiopia).
Anaendesha ndege aina ya Bombardier Q400.

6.Irene Mutungi. (Captain Kenya Airways).
Anaendesha ndege aina ya Boeing 767.
7. Imoleayo Adebule, 23. (First Officer Aero Contractors, Nigeria).

8. Milcah Mumbe, 21. (First Officer Safarilink, Kenya).
Anaendesha ndege aina za Cessna Caravan.
9. Cecylia Gellejah, 23. (First Officer Flightlink Air Charters, Dar es Salaam).


No comments:

Post a Comment